Hebrews 7:18-19

18 aKwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa 19 b(kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.

Copyright information for SwhKC